LIGI YA FKF KUANZA RASMI WIKENDI IJAYO – DICKSON ANGORE
Ligi ya kaunti ya Kilifi itaanza rasmi wikendi ijayo baada ya matayarisho ya muda mrefu na shirikisho la soka FKF. Mwenyekiti wa shirikisho la fkf kaunti ya Kilifi Dickson Angore amesema kwamba matayarisho yamechelewa kutokana na usajili wa wachezaji katika orodha maalumu ya wachezaji katika Fifa Connect Usajili huo umekuwa ukifanyiwa kwa upole na umakini […]
LIGI YA FKF KUANZA RASMI WIKENDI IJAYO – DICKSON ANGORE Read More »



