TUKO NA IMANI NA GAVANA WA SASA KATIKA MICHEZO – MWABATI
Mwenyekiti wa klabu ya Young Bulls Jonson Mwambati amesema kwamba ako na matumaini makubwa na serikali ya kaunti ya kilifi katika kuimarisha michezo mashinani katika siku za usoni. Mwambati amesema kwamba kama wanamichezo katika kaunti ya kilfi wana matumaini makubwa na gavana wa sasa Gedion Maitha Mungaro kwamba atasaidia ukuaji wa talanta na michezo kupitia […]
TUKO NA IMANI NA GAVANA WA SASA KATIKA MICHEZO – MWABATI Read More »



