WANADADA WA KILIFI WANG’AA THARAKA NITHI
Mkufunzi mkuu wa kikosi cha mpira wa wavu kinachowakilisha kaunti ya kilifi Henry Nyamu ameeleza kuridhishwa kwake na matokeo ya jana ya ushindi wa seti 3-0 dhidi ya kaunti ya embu katika mechi yao ya kwanza ya mashindano ya Kenya Youth Inter County Sports yanayoendelea katika kaunti ya Tharaka Nithi. Amewapongeza malkia hao wa kaunti […]
WANADADA WA KILIFI WANG’AA THARAKA NITHI Read More »



