TIMU ZA SOKA ZA KILIFI ZAANZA VIBAYA KYISA
Timu ya soka ya wanaume inayoongozwa na mkufunzi Rio Ngumbao imesajili sare ya bao 1-1 dhidi ya timu ya Mandera katika mechi ya kwa nza kabisa iliyochezwa asubui ya leo. Timu ya kilifi kwa upande wa kinadada inayoongozwa na mkufunzi Fathime Tibu imetandikwa kichapo cha mabao 3-0 dhidi ya timu ya Tharaka Nithi ambao ndio […]
TIMU ZA SOKA ZA KILIFI ZAANZA VIBAYA KYISA Read More »



