ALEX MWALIMU KUENDELEA KUKOSA MECHI ZA YOUNG BULLS
Klabu ya Young Bulls itazidi kumkosa mshambulizi wake nguli Alex Mwalimu mzawa wa Matsangoni kaunti ya Kilifi kutokana na majeraha. Alex aliumia katika mechi ya Mudzini Derby dhidi ya Malindi Progressive ambapo walishinda kwa bao 1-0 mwezi mei. Kwa sasa Young Bulls itakuwa bila mshambuliaji huyo ambaye amewasaidia sana msimu huu katika kusajili matokeo mazuri. […]
ALEX MWALIMU KUENDELEA KUKOSA MECHI ZA YOUNG BULLS Read More »



