Kaunti

MASHINDANO YA BODABODA KUFANYIKA MALINDI

Muungano wa wanabiashara wa bodaboda mjini Malindi kaunti ya Kilifi wanalenga kuandaa mashindano ya soka ya siku moja katika uwanja wa Alaskan mjini Malindi wikendi ijayo. Mashindano hayo ya siku moja yatakayofanyika siku ya Jumamosi yanalenga kuhamasisha wanaboda boda kuhusiana sheria za barabarani, usalama wao pamoja na kutoa hamasa kuhusu biashara hiyo. Akizungumza na Tama

MASHINDANO YA BODABODA KUFANYIKA MALINDI Read More »