SPARKI YOUTH YAGOMEA MECHI KISA UKOSEFU WA USALAMA
Mechi kati ya klabu ya Mariakani FC na Sparki Youth jana ililazimika kusitishwa kabla ya kipindi cha pili kuanza rasmi, hii ni kutokana na klabu ya Mariakani fc kukosa kuwasilisha maafisa wa polisi mapema kabla ya mechi hiyo kuanza kama kipengele katika sheria za fkf kuwa klabu ya daraja la pili kitaifa inapoandaa mechi katika […]
SPARKI YOUTH YAGOMEA MECHI KISA UKOSEFU WA USALAMA Read More »



