Kaunti

WADAU WA ELIMU WAHIMIZA MAKUZI YA TALANTA CHANGA

Naibu katibu mkuu wa Kuppet katika kaunti ya Kilifi  bwana Oppolo K’opollo amewahimiza wazazi kusaidia wanao kukuza talanta katika umri mchanga. Oppolo amesema kwamba katika cha michezo ya shule za msingi lakini pia za upili ndio kipindi ambacho talanta za vijana hugunduliwa na kuna urahisi wa mchezaji kuanza kujenga kipaji chake. Katibu huyo amewashauri wazazi […]

WADAU WA ELIMU WAHIMIZA MAKUZI YA TALANTA CHANGA Read More »

MATAYARISHO YA MASHINDANO YA BODABODA YANANOGA MALINDI

Muungano wa bodaboda mjini Malindi kaunti ya Kilifi unazidi unazidisha maandalizi ya mashindano ya soka yatakayofanyika siku ya jumamosi katika uwanja wa Alaskan. Ni mashindano ambayo yanalenga kuhamasisha wafanya biashara ya bodaboda kuhusu sheria za barabarani, usalama wao pamoja na kuwahamasisha kuhusu bishara hiyo ambayo imeajiri vijana wengi hapa nchini. Akizungumza na Tama la Spoti

MATAYARISHO YA MASHINDANO YA BODABODA YANANOGA MALINDI Read More »