Kaunti

KUCHELEWA KWA MGAO WA FEDHA KWALEMAZA MICHEZO MALINDI

Kucheleweshwa kwa mgao wa fedha za CDF kutoka serikali kuu hadi kwa wabunge mashinani kumelemaza sekta ya michezo kwa miezi mingi jambo ambalo limefanya baadhi ya miradi ya michezo kutofanyika kwa wakati. Hiyo ni kulingana na mbunge Amina Mnyazi katika hafla ya kupeana vifaa vya michezo mjini malindi kaunti ya kilifi. Amina Mnyazi amehakikishia wachezaji

KUCHELEWA KWA MGAO WA FEDHA KWALEMAZA MICHEZO MALINDI Read More »