Kaunti

MICHEZO YA KITAMADUNI KUPEWA NAFASI PIA MAGARINI

Stephen Baya ambaye ni mwakilishi wadi wa Gongoni, eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi anasema kwamba analenga kuimarisha michezo yote katika wadi yake kama njia moja ya kuinua na kuimarisha vipaji. Amesema hayo asubui ya leo wakati akizungumza na Tama La spoti ambapo amehoji kuwa  michezo ya mipira imeangaziwa na kupewa kipaumbele sana tofauti […]

MICHEZO YA KITAMADUNI KUPEWA NAFASI PIA MAGARINI Read More »

WITO WA KUSAJILI WACHEZAJI CHAPA DIMBA WATOLEWA KWALE

Wito umetolewa kwa timu za soka katika kaunti ya kwale kushirikiana na shirikisho la soka katika tawi la gatuzi hilo  kusajili wa wachezaji kwa ajili ya mashindano ya chapa dimba ambayo yatakuwa yanachezwa katika ngazi ya kaunti. Kulingana na taarifa iliyowasilishwa kwa vilabu na mkurugenzi mkuu wa FKF Kwale bwana Shaban Mwero ni kuwa vilabu

WITO WA KUSAJILI WACHEZAJI CHAPA DIMBA WATOLEWA KWALE Read More »

MASHINDANO YA OMAR MSHAMU KUTOATHIRI LIGI ZA FKF MAGARINI

Shirikisho la soka katika eneo bunge la Magarini limethibitisha kuwa ujio wa mashindano ya Omar Mshamu Super Tournament hakutaathiri ligi za fkf katika eneo hilo. Kulingana na Julius Mweni ambaye ni mwenyekiti wa fkf tawi la eneo hilo amesema kwamba mechi zote za ligi ya fkf zitapewa kipaumbele tofauti na mashindano hayo. Mweni anasema kwamba

MASHINDANO YA OMAR MSHAMU KUTOATHIRI LIGI ZA FKF MAGARINI Read More »