KANISA LATUMIA MICHEZO KUMHUBIRI YESU MOMBASA
Kanisa la Life Ministry Kenya linaendeleza injili ya kumnadi Yesu Kristo kupitia michezo mbalimbali katika kaunti ya Mombasa ambako limekuwa likiandaa michezo ya mara kwa mara na kuwahusisha vijana wa kaunti hiyo. Akizungumza na Tama la Spoti mapema hii leo Jane Njoki ambaye ni kiongozi wa makanisa yaliyoko chini ya mwavuli wa Life Ministry Kenya […]
KANISA LATUMIA MICHEZO KUMHUBIRI YESU MOMBASA Read More »
