‘MANUSURA’ WAUNDA TIMU YA SOKA DABASO
Vijana wa Dabaso katika eneo la watamu Kaunti ya kilifi ambao walikuwa wameathirika na dawa za kulevya sasa wameunda timu ya soka ili kujishuhulisha viwanjani na kutumia wakati wao mwingi kuboresha afya zao pamoja na talanta zao ili kuepuka majaribu ya kurejea katika tabia zao za awali. Melda Mnyazi ambaye ni afisa wa michezo katika […]
‘MANUSURA’ WAUNDA TIMU YA SOKA DABASO Read More »

