Kaunti

ESSIE AKIDA KUANDAA MASHINDANO YA SHUKRANI

Mchezaji wa timu ya taifa ya Harambe Starlets Essie Akida  anapania kuanzisha mashindano ya soka mwishoni mwa mwezi huu. Malkia huyo anayechezea klabu ya AC PAOK Thessaloniki yenye makazi yake ugiriki analenga kuandaa mashindano hayo aliyoyapa jina la Essie Akida Football Tournament mashindano ambayo yatafanyika katika uwanja wa Mkoroshoni mjini kilifi kaunti ya Kilifi. Kulingana

ESSIE AKIDA KUANDAA MASHINDANO YA SHUKRANI Read More »