SANGO SPORTIFF ITAKOMAA LIGINI
Mkufunzi mkuu wa klabu ya Sango Sportiff timu ya pekee inayowakilisha kaunti ya Tana River katika ligi ya daraja la pili kitaifa mwite Righo Jillo anasema ako na matumaini makubwa ya kusajili ushindi wikendi ijayo ambapo vijana wake watasafiri kwenda Lamu kuvaana na klabu ya Deep Sea. Mkufunzi huyo amewashukuru mashabiki wa klabu hiyo kwa […]
SANGO SPORTIFF ITAKOMAA LIGINI Read More »



