Kaunti

IDADI YA WANAFUNZI WANAOJIUNGA NA JSS KAUNTI YA MOMBASA YAFIKIA ASILIMIA 70

Mkurugenzi wa elimu kaunti ya Mombasa Peter Magiri amesema idadi ya wanafunzi ambao wanajiunga na masomo ya Sekondari Msingi katika kaunti hiyo imefikia asilimia 70. Akizungumza baada ya kufanya ziara ya kielimu kwenye shule ya upili ya wasichana ya Mbaraki katika kaunti ya Mombasa, Magiri amesema masomo ya wanafunzi hao yanaendelea vyema japo kuna msongamano […]

IDADI YA WANAFUNZI WANAOJIUNGA NA JSS KAUNTI YA MOMBASA YAFIKIA ASILIMIA 70 Read More »

WANAWAKE MJINI MALINDI WAHIMIZWA KUFIKA KWENYE VITUO VYA AFYA KUJIFUNGUA

Wanawake eneo bunge la Malindi na kaunti ya Kilifi kwa jumla, wametakiwa kuhakikisha wanajifungua katika vituo vya afya, kama njia mojawapo ya kujilinda dhidi ya athari ambazo huenda zikawakumba wakati wanapojifungua majumbani. Haya ni kwa mujibu wa afisa wa afya ya umma katika eneo la Malindi kaunti ya Kilifi, Thomas Kiboni ambaye amesema idadi kubwa

WANAWAKE MJINI MALINDI WAHIMIZWA KUFIKA KWENYE VITUO VYA AFYA KUJIFUNGUA Read More »

ABBAS KUNYO ASEMA HAZINA YA KARO YA WADI YA SHILINGI MILIONI 150 HAITAFUTILIWA MBALI KAUNTI YA TANA RIVER

Waziri wa elimu, Jinsia na Michezo kaunti ya Tana River Abbas Kunyo amesema hazina ya karo ya wadi ya shilingi milioni 150 kwa mwaka haitafutiliwa mbali licha ya kuwepo kwa mchakato wa kuanzisha hazina nyingine ya GOVERNORS SCHOLARSHIP. Kunyo amesema lengo la hazina ya Gavana inapania kupiga jeki utoaji wa karo kwa wanafunzi ambao wanafanya

ABBAS KUNYO ASEMA HAZINA YA KARO YA WADI YA SHILINGI MILIONI 150 HAITAFUTILIWA MBALI KAUNTI YA TANA RIVER Read More »