Kaunti

SERIKALI YA KAUNTI YA LAMU KUWAFADHILI KIMASOMO WANAFUNZI WANAOTOKA MAENEO YA BASUBA

Naibu Kamishna wa kaunti ya Lamu Raphael Munyua amesema wanafunzi ambao wanatoka kwenye familia zisizojiweza na ambao wanapata zaidi ya alama ya 250 kwenye mtihani wao wa darasa la 8 KCPE watafadhiliwa masomo yao ya upili na serikali ya kaunti ya Lamu ili kuendeleza masomo yao. Kulingana na Munyua, wanafunzi kutoka maeneo ya Basuba ambao […]

SERIKALI YA KAUNTI YA LAMU KUWAFADHILI KIMASOMO WANAFUNZI WANAOTOKA MAENEO YA BASUBA Read More »

WAFANYIKAZI WA SERIKALI KUPOKEA FEDHA ZAO ZA UZEENI KWA WAKATI

Bodi inayaoangazia marupurupu ya wafanyakazi wa serikali nchini ya PUBLIC SERVICE SUPERANNUATION SCHEME, iwamehakikishia wafanyakazi wa serikali kutocheleweshwa kwa pesa zao za uzeeni baada ya kustaafu. Akizungumza mjini Malindi kaunti ya Kilifi, katika kikao cha kuhamasisha wafanyakazi wa serikali kuhusiana na pesa za uzeeni, afisa wa bodi hiyo Douglas Asanya, amesema afisi ya msimamzi wa

WAFANYIKAZI WA SERIKALI KUPOKEA FEDHA ZAO ZA UZEENI KWA WAKATI Read More »

KIWANDA CHA MAZIWA CHA KCC ENEO LA MIRITINI KUIMARISHWA

Serikali kupitia wizara ya vyama vya ushirika na biashara nchini inapanga kupanua kiwanda cha maziwa cha KCC eneo la Miritini kaunti ya Mombasa na kukifanya kuwa kiwanda bora cha maziwa. Haya ni kwa mjibu wa waziri katika wizara hiyo nchini Simon Chelugui akizungumza katika kikao na gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir na kusema

KIWANDA CHA MAZIWA CHA KCC ENEO LA MIRITINI KUIMARISHWA Read More »