NERO CHISHENGA ALALAMIKA KUHUSU MECHI YA MOMBASA
Mkufunzi Nero Chishenga wa klabu ya Furunzi FC anaeleza kutoridhika na matokeo ya vijana wake katika mechi ya ugenini wikendi hii dhidi ya klabu ya Shimanzi FC mjini Mombasa ambapo Furunzi walitandikwa kichapo cha mabao 5-1. Nero amedokezea Tama la Spoti kwamba kulishuhudiwa maonevu kutokana na waamuzi wa mechi hiyo hali ambayo anahoji kuwa kinyume […]
NERO CHISHENGA ALALAMIKA KUHUSU MECHI YA MOMBASA Read More »



