Kaunti

NERO CHISHENGA ALALAMIKA KUHUSU MECHI YA MOMBASA

Mkufunzi Nero Chishenga wa klabu ya Furunzi FC anaeleza kutoridhika na matokeo ya vijana wake katika mechi ya ugenini wikendi hii dhidi ya klabu ya Shimanzi FC mjini Mombasa ambapo Furunzi walitandikwa kichapo cha mabao 5-1. Nero amedokezea Tama la Spoti kwamba kulishuhudiwa maonevu kutokana na  waamuzi wa mechi hiyo hali ambayo anahoji kuwa kinyume […]

NERO CHISHENGA ALALAMIKA KUHUSU MECHI YA MOMBASA Read More »

VIONGOZI WA CHAMA CHA PAA NA WA KENYA KWANZA KAUNTI YA KILIFI WAMEAHIDI KUWEKA KANDO TOFAUTI ZAO ZA KISIASA

Baadhi ya Viongozi wa Muungano wa Kenya Kwanza na wale wa chama cha PAA kaunti ya Kilifi wameamua kuweka kando tofauti zao za kisiasa ili kuwafanyia kazi wenyeji. Kwenye kikao na waandishi wa Habari, Viongozi hao wakiogozwa na David Kadenge ambaye alikua mwakilishi wa wadi ya Malindi Mjini kaunti ya Kilifi amesema licha ya kuwa

VIONGOZI WA CHAMA CHA PAA NA WA KENYA KWANZA KAUNTI YA KILIFI WAMEAHIDI KUWEKA KANDO TOFAUTI ZAO ZA KISIASA Read More »