Kaunti

MIRAJJ ABDILLAHI AWAHIMIZA VIONGOZI WA PWANI KUIPA ELIMU KIPAUMBELE

Seneta mteule Miraj Abdillahi ametoa wito kwa viongozi wa kanda ya pwani kuipa elimu kipaumbele. Akizungumza katika kaunti ya Mombasa Miraj amesema ni lazima kuwe na mikakati ambayo itawekwa na viongozi, wadau mbalimbali pamoja na serikali katika kuhakikisha sekta ya elimu inaimarika kanda ya pwani. Miraj amesema ili viwango vya elimu viimarike kanda ya pwani […]

MIRAJJ ABDILLAHI AWAHIMIZA VIONGOZI WA PWANI KUIPA ELIMU KIPAUMBELE Read More »

VISA VYA UWINDAJI HARAMU VIMEPUNGUA KATIKA KAUNTI YA KWALE

Mkurugenzi wa KWS kaunti ya Kwale Jocob Orale amesema wanaendeleza mikakati ambayo itasaidia kudhibiti visa vya ukataji miti kiholela na uwindaji haramu katika msitu wa Shimba Hills. Orale amesema wameweka uzio upya ambao unazunguka mbuga hiyo ili kudhibiti visa hivyo. Kulingana na Orale visa vya uwindaji haramu vimekuwa vikiathiri sekta ya utalii nchini kwani idadi

VISA VYA UWINDAJI HARAMU VIMEPUNGUA KATIKA KAUNTI YA KWALE Read More »

SERIKALI YA KAUNTI YA MOMBASA YAFUNGA BAADHI YA MAJAA YA TAKA

Naibu Gavana wa kaunti ya Mombasa Francis Thoya amesema serikali ya kaunti hiyo imeanzisha harakati za kulifunga rasmi jaa la taka lilitoko kwenye eneo bunge la Kisauni kaunti ya Mombasa ili kuboresha mazingira. Thoya amesema serikali ya kaunti ya Mombasa imekuwa ikiyafunga majaa ya taka ambayo yamekuwa kwenye makazi ya wenyeji ili waishi katika mazingira

SERIKALI YA KAUNTI YA MOMBASA YAFUNGA BAADHI YA MAJAA YA TAKA Read More »