LIVERPOOL KUPUMZISHA WACHEZAJI
Kocha wa Liverpool Arne Slot anasema analenga kuwapumzisha wachezaji wengi wa kikosi cha Kwanza kesho katika mechi ya Carabao Liverpool leo itakuwa inamenyana na Southampton kwenye mechi ya Carabao na Slot anasema wachezaji kama Diogo Jota na viungo kama Szoboslai na Alex Mac Allister huenda wakazidi kupumzishwa. Hata hivyo sajili ya majira ya kiangazi Federico […]
LIVERPOOL KUPUMZISHA WACHEZAJI Read More »



