Kimataifa

HISIA ZA BALLON DOR ZAZIDI KUIBUKA – AGUERO NA SEEDORF

Maoni mbalimbali kuhusu tuzo la Ballon Dor yanazidi kuibuka ulaya huku wachezaji nguli wengine ambao walishastaafu wanazidi kuibua hisia zao. Baada ya tuzo ya Ballon Dor kupewa Kiungo wa Man City Rodrigo kuna baadhi ya wachezaji waliostafu wanasema sio sawa kwa Real Madrid kufanya tukio la kususia hafla ya kutoa tuzo hizo. Mshambuliaji wa zamani

HISIA ZA BALLON DOR ZAZIDI KUIBUKA – AGUERO NA SEEDORF Read More »