REAL MADRID NA BARCELONA KUFUFUA UHASAMA LEO
Usiku wa leo kuna mechi ya Elclassico ambapo Real Madrid watakuwa wanafufua uhasama wao dhidi ya klabu ya Barcelona katika mtanangwe wa Copa Del Rey hatua ya nusu fainali raundi ya kwanza. Mechi hiyo itakayochezwa dimbani Santiago Barnabou itamkosa mshambuliaji Robert Lewandoski ambaye anauguza jeraha la misuli pamoja na Osuamnane Dembele pamoja na kiungo wa […]
REAL MADRID NA BARCELONA KUFUFUA UHASAMA LEO Read More »



