NEYMAR JR KUREJEA SELECAO
Neymar ameweza Kapata mwaliko kwenye Timu ya Taifa Ya Brazil, baada ya Kukaa Nje kwa Takriban mwaka mmoja na Nusu, akiuguza Jeraha kwenye mechi dhidi ya Uruguay oktoba mwaka Juzi. Baada ya Jeraha Hilo Mshambuliaji huyo mwenye umri wa Miaka Thelathini na mitatu alijitahidi vilivyo Kurudisha Fomu Yake, akiwa Na Matumaini ya kuwakilisha Samba Boys […]
NEYMAR JR KUREJEA SELECAO Read More »



