Kimataifa

MAN U YASELELEA UROPA

Manchester United imefuzu kwenye Hatua ya raundi ya kumi na sita Bora Katika kombe La bara Europa, baada ya kuicharaza FCSB waliokua nyumbani magoli mawili sufuri, kinda Kobbie Mainoo akiuona wavu na kupeana asisti ya mabao hayo kwenye kipindi cha pili. Vigogo wa Uturuki Galatasaray walimaliza Fomu yao ya kwenda Mechi saba Bila kufungwa, walipoangukia

MAN U YASELELEA UROPA Read More »