Kimataifa

NAELEKEA MAREKANI, SITAKI HELA ZA SAUDI ARABIA – LIONEL MESSI

Messi amekubali kuhamia marekani katika Major League Soccer kwenye klabu ya Inter Miami akimaliza tetesi za uhamisho kuelekea Saudi Arabia au kurejea klabu ya Barcelona nchini Uhispania. Messi raia wa Argentina ambaye atakuwa anafikisha miaka 36 mwezi ujao amekubaliana na uongozi wa klabu ya Inter Miami ambayo kwa asilimia kubwa inamilikiwa na David Beckham mchezaji […]

NAELEKEA MAREKANI, SITAKI HELA ZA SAUDI ARABIA – LIONEL MESSI Read More »

KUFIKA FAINALI NI TUKIO KUBWA MAISHANI MWANGU, TUTAMALIZA UKAME WA MAKOMBE – DAVID MOYES

Mkufunzi wa klabu ya Westham United David Moyes anasema kufika fainali ya Europa Conference league ni tukio kubwa kutokea katika kazi yake ya ukufunzi. Ameyasema hayo kipindi ambacho Westham usiku wa leo watakuwa wanashuka dimbani dhidi ya Fiorentina katika fainali ya Europa Conference league. Amesema Westham United usiku wa leo wanalenga kushinda ubingwa wao wa

KUFIKA FAINALI NI TUKIO KUBWA MAISHANI MWANGU, TUTAMALIZA UKAME WA MAKOMBE – DAVID MOYES Read More »