Kimataifa

FODEN AACHA NA UINGEREZA NA KURUDI NYUMBANI KUPOKEA MTOTO WA TATU

Phil Foden, mchezaji wa klabu ya Manchester City aliachana na kambi yake ya timu ya taifa ya Uingereza huko Ujerumani ambako mashindano ya kombe la mataifa bara ulaya yanaendelea na kurejea nyumbani kwao Uingereza kwa ajili ya kuwa karibu na familia kipindi ambacho mke wake anajifungua. Foden mwenye umri wa miaka 24 anatarajia kupata mtoto

FODEN AACHA NA UINGEREZA NA KURUDI NYUMBANI KUPOKEA MTOTO WA TATU Read More »

RATIBA YA EPL 2024/2025 YATANGAZWA, MAN U WAANZIA NYUMBANI

Ratiba ya ligi kuu nchini Uingereza imetangazwa rasmi hii leo huku msimu mpya wa mwaka 2024/2025 ukitarajiwa kuanza rasmi tarehe 16 mwezi Agosti ambapo mechi ya kwanza itachezwa. Mechi ya kwanza kabisa ya EPL msimu ujao ni ile ya Manchester United dhidi ya Fulham katika uwanja wa Old Trafford. Hayo yanajiri huku matayarisho ya msimu

RATIBA YA EPL 2024/2025 YATANGAZWA, MAN U WAANZIA NYUMBANI Read More »