DI MARIA STAFU SOKA LA KIMATAIFA
Winga wa timu ya taifa ya Argentina Angel Di Maria ni rasmi sasa amestafu soka la kimataifa baada ya kushiriki mechi yake ya mwisho ya Copa America asubuhi ya leo. Di Maria ametaja kuwa fainali dhidi ya Colombia ambayo Argentina imeshinda ubingwa wa kombe hilo kwa mara ya pili mfululizo ndio mechi yake ya mwisho […]
DI MARIA STAFU SOKA LA KIMATAIFA Read More »



