Kimataifa

ARGENTINA WATETEA UBINGWA COPA AMERICA

Argentina ndio mabingwa wa fainali za Copa America mashindano yalokuwa yanaendelea katika taifa la Marekani. Argentina ambao ni mabingwa watetezi wameichapa Colombia kichapo cha bao 1-0, bao la Lautaro Martinez anayechezea Inter Milan ndio bao lilotosha kuipa ubingwa tena Argentina inayoongozwa na mkufunzi Leonel Scaloni. Fainali hiyo imetamatika mwendo wa saa moja asubui hii baada […]

ARGENTINA WATETEA UBINGWA COPA AMERICA Read More »