TAARIFA ZA UHAMISHO ULAYA ; MODRID, ALVAREZ, INACIO
Luka Modric mchezaji wa timu ya taifa ya Croatia sasa amechaguliwa kuwa nahodha mpya wa klabu ya Real Madrid inayoongozwa na Carlo Ancelotti Hii ni baada ya aliyekuwa nahodha wa klabu hiyo Nacho Hernandes kukamilisha uhamisho wake kuelekea Saudi Arabia Pro League. Hayo yanajiri baada ya Modric pia kurefusha mkataba wake wa mwaka mmoja na […]
TAARIFA ZA UHAMISHO ULAYA ; MODRID, ALVAREZ, INACIO Read More »



