Kimataifa

TAARIFA ZA UHAMISHO ULAYA ; MODRID, ALVAREZ, INACIO

Luka Modric mchezaji wa timu ya taifa ya Croatia sasa amechaguliwa kuwa nahodha mpya wa klabu ya Real Madrid inayoongozwa na Carlo Ancelotti Hii ni baada ya aliyekuwa nahodha wa klabu hiyo Nacho Hernandes kukamilisha uhamisho wake kuelekea Saudi Arabia Pro League. Hayo yanajiri baada ya Modric pia kurefusha mkataba wake wa mwaka mmoja na […]

TAARIFA ZA UHAMISHO ULAYA ; MODRID, ALVAREZ, INACIO Read More »

TAARIFA ZA SOKA ULAYA ; MBAPPE KUTANGAZWA MADRID, SOUTHGATE KUJIUZULU, MULLER NA SHAKIRI KUSTAAFU

Mkufunzi wa timu ya taifa ya Uingereza Gareth Southgate amejiuzulu kutoka wadhifa wake hii leo.Hii ni baada ya kupoteza fainali ya pili ya Euro ambako Uingereza (Three Lions) walipigwa kichapo cha mabao 2-1 na Uhispania. Hii ni fainali ya pili mfululizo Uingereza inapoteza chini ya Southgate baada ya kupoteza makala yalopita dhidi ya Italia katika

TAARIFA ZA SOKA ULAYA ; MBAPPE KUTANGAZWA MADRID, SOUTHGATE KUJIUZULU, MULLER NA SHAKIRI KUSTAAFU Read More »