Kimataifa

MASHINDANO YA OLIMPIKI YAANZA KUNOGA UFARANSA

Mashindano ya olimpiki yanaendelea nchini Ufaransa, na mashindano ya kwanza ya uwanjani yatakayoshirikisha wakenya kwenye riadha ni kuwa  kesho kikosi cha wanaume kitashiriki kwenye mashindano ya walking race kilomita 20 kabla mbio za mita 1500, mita 5000, mbio za kupokezana vijiti kuanza rasmi ijumaa wiki hii. Kwenye soka ni kuwa  timu ya taifa ya ufaransa […]

MASHINDANO YA OLIMPIKI YAANZA KUNOGA UFARANSA Read More »

UHAMISHO ULAYA; JAMES RODRUGUEZ, RABIOT, MASON MOUNT

Mchezaji wa timu ya taifa ya Colombia James Rodriguez aliyeshinda tuzo la mchezaji bora katika mashindano ya Copa America 2024 ametangaza kutamatisha mkataba wake ni klabu yake ya sasa Sao Paulo. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 sasa ni mchezaji huru kwa klabu yoyote inayohitaji huduma zake. Rodriguez katika mashindano ya Copa Amerika alifunga

UHAMISHO ULAYA; JAMES RODRUGUEZ, RABIOT, MASON MOUNT Read More »