Kimataifa

WANAHARAKATI WA KENYA WAZUILIWA KUHUDHURIA KESI YA KIONGOZI WA CHAMA CHA CHADEMA TUNDU LISU.

Serikali ya Tanzania imeweka wazi sababu za kuwakamata na kuwarudisha makwao, wanaharakati kutoka Kenya na Uganda, waliokuwa wamefika jijini Dar es Salaam, kushuhudia kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu. Tukio hilo limeibua mjadala mkubwa kuhusu uhuru wa mahakama, uhusiano wa kikanda na nafasi ya wanaharakati katika muktadha wa haki za binadamu Afrika Mashariki. Akizungumza

WANAHARAKATI WA KENYA WAZUILIWA KUHUDHURIA KESI YA KIONGOZI WA CHAMA CHA CHADEMA TUNDU LISU. Read More »