JONATHAN TAH KUJIUNGA NA BAYERN MUNICH
Beki wa Bayer Leverkusen, Jonathan Tah, yuko karibu kujiunga na Bayern Munich, Tah akitarajiwa kuwa mchezaji huru kuanzia tarehe mosi Julai 1, lakini mazungumzo bado yanaendelea kuhusu ada ya uhamisho, kwani Bayern wanamtaka awepo kwa ajili ya Kombe la Dunia la vilabu. Iwapo makubaliano yatatimia, Tah anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya wiki hii, na Kusaini […]
JONATHAN TAH KUJIUNGA NA BAYERN MUNICH Read More »



