Kimataifa

HARRY MAGUIRE KUPOKONYWA UNAHODHA

Harry Maguire ambaye amekuwa nahodha wa klabu ya Manchester United kule uingereza atapokonywa unahodha huo hata ikitokea hajauzwa msimu huu. Majarida kadhaa yameripoti kwamba huenda Bruno Fernandes akapewa kitambaa hicho au Casemiro kuelekea msimu ujao. Harry Maguire kwa sasa ameonekana hayupo kabisa katika mipango ya mkufunzi Erick Ten Hag na amewekwa mnadani huku vilabu kadhaa …

HARRY MAGUIRE KUPOKONYWA UNAHODHA Read More »

ANCELOTTTI KUWA MKUFUNZI MPYA WA TIMU YA TAIFA YA BRAZIL

Mkufunzi wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti atakuwa mkufunzi mkuu wa timu ya taifa ya brazil kuanzia mwaka ujao. Hii ni kulingana na rais wa shirikisho la soka la brazil Ednaldo Rodriguez aliyesema kuwa wako mbioni kutafuta huduma za kimkataba na Ancelotti. Kwa sasa anayeongoza Samba Boys ambao ni mabingwa mara tano wa kombe …

ANCELOTTTI KUWA MKUFUNZI MPYA WA TIMU YA TAIFA YA BRAZIL Read More »

UHAMISHO; GUNDOGAN YWAELEKEA CAMP NOU, KIM AKIAHIRISHA UHAMISHO NA KUINGIA JESHINI KWANZA

Klabu ya Barcelona ambao ni mabingwa wa Laliga kule uhispania  wamekubaliana na Ikkay Gundogan  ambaye ni nahodha wa klabu ya manchester city walioshinda kombe la mabingwa ulaya pamoja na ligi kuu nchini Uingereza. Gundogan alikuwa amepewa ofa ya kuongeza uwepo wake katika dimba la Etihad lakini ameamua kuihama kambi hiyo na kujiunga na kambi ya …

UHAMISHO; GUNDOGAN YWAELEKEA CAMP NOU, KIM AKIAHIRISHA UHAMISHO NA KUINGIA JESHINI KWANZA Read More »