LEO TAREHE 8, INIESTA KAMA JEZI YAKE 8 AMESTAAFU RASMI
Mchezaji wa zamani wa klabu ya Barcelona Andres Iniesta, ambaye ni mshindi mara mbili wa kombe la Euro na Kombe la Dunia la 2010 akiwa na timu ya taifa ya Uhispania, ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 40 hii leo. Iniesta alijulikana katika ulimwengu wa soka kupitia akademia maarufu ya La Masia ya […]
LEO TAREHE 8, INIESTA KAMA JEZI YAKE 8 AMESTAAFU RASMI Read More »



