Kimataifa

ALISSON BECKER KUKOSA MECHI ZA LIVERPOOL KWA WIKI SITA

Kipa nambari moja wa Liverpool Allison Becker atakosa mechi sita za klabu hiyo baada ya kupata jeraha la paja wikendi ilopita Alison alitumia katika mechi ambayo Liverpool ilishinda ugenini kwa bao 1-0 dhidi ya Crystal Palace na kutoka kunao dakika ya 79 Taarifa zasema kuwa atarejea baada ya mapumziko ya kimataifa mwezi November mwaka huu

ALISSON BECKER KUKOSA MECHI ZA LIVERPOOL KWA WIKI SITA Read More »