JUNIOR STARLETS YAANDIKISHA HISTORIA YA KOMBE LA DUNIA
Shirikisho la soka hapa nchini Kenya FKF chini ya Nick Mwendwa rais wa shirikihso hilo linajivunia kuwa uongozi wa kwanza wa soka kuipeleka Kenya katika mashindano ya soka ya dunia. Nick Mwendwa akizungumza baada ya kikosi cha wachezaji wasiozidi umri wa miaka 17 Junior Starlets waliofuzu kwa kombe la dunia anasema ni faraja kubwa kwao […]
JUNIOR STARLETS YAANDIKISHA HISTORIA YA KOMBE LA DUNIA Read More »



