Paps Mkare

JUNIOR STARLETS YASHINDA 4-1 KWENYE MECHI YA KIRAFIKI

Timu ya taifa ya Junior starlets ambayo iko Uhispania katika kambi ya kujitayarisha kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Dunia ya kinadada jana ilisajili ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya klabu ya kinadada ya Intercity Femenino. Ni mechi ambayo inawafanya Junior starlets wanaoongozwa na kocha Mildred Cheche inazidi kujiandaa kwa World Cup igakayoanza tarehe

JUNIOR STARLETS YASHINDA 4-1 KWENYE MECHI YA KIRAFIKI Read More »

JUNIOR STARLETS YASHINDA 4-1 KWENYE MECHI YA KIRAFIKI

Timu ya taifa ya Junior starlets ambayo iko Uhispania kwa matayarisho ya mwisho kuelekea Kombe la Dunia katika taifa ya Dominica Republic usiku wa kuamkia leo imeshiriki mechi ya kirafiki ili kuzidi kujinoa. Imekipiga dhidi ya Valencia Women na kushinda kwa bao 4-1. Mshambuliaji Valerie Nekesa ametia wavuni mabao mawili sawa na lindey Atieno ambaye

JUNIOR STARLETS YASHINDA 4-1 KWENYE MECHI YA KIRAFIKI Read More »