Paps Mkare

KOCHA WA BUMBANI STARS AIGURA KLABU HIYO

Kocha Mwaduka Bakari ambaye aliipandisha klabu ya Bumbani Stars kutoka Lungalunga ligi ya daraja la kwanza kitaifa msimu uliopita amethibitisha kuwa amefanya maamuzi na sasa ameachana na klabu hiyo. Kocha huyo ametaja kukosewa heshima na uongozi miongoni mwa masuala mengine yaliyojiri punde tu baada ya msimu jana kutamatika mambo ambayo amekiri yalimfanya kuhisi kujikataa klabuni […]

KOCHA WA BUMBANI STARS AIGURA KLABU HIYO Read More »

MBAPPE KUSALIA MADRID WAKATI WA MAPUMZIKOYA KIMATAIFA

Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Kylian Mbappe anatarajiwa kukosa kusafiri kuelekea kwao kwa ajili ya mashindano ya mapumziko ya kimataifa Mbappe ambaye alishiriki mechi ya Uefa jana licha akiwa bado na mashaka ya majeruhi imethibitika kuwa atasalia Madrid. Kulingana na taarifa ni kuwa Mbappe atasalia Madrid kuendelea kupata

MBAPPE KUSALIA MADRID WAKATI WA MAPUMZIKOYA KIMATAIFA Read More »