Paps Mkare

KAMATI YA UCHAGUZI YATANGAZA SIKU YA MWISHO YA KUWASILISHA LALAMA

Shirikisho la soka Fkf limetangazia vilabu vya mashinani kuwa leo ndio siku ya mwisho kuwasilisha lalama zao kuhusu Orodha ya mwakikishi atakayepiga kura za Fkf. Kulingana na waraka unaosambaa mitandaoni nikuwa Wadau wa vilabu wanaweza kutuma lalama za yupi anafaa kupiga kura, klabu fulani ambayo haikuorodheswa iwekwe pamoja na kuondoa klabu fulani ambayo haikufaa kupiga

KAMATI YA UCHAGUZI YATANGAZA SIKU YA MWISHO YA KUWASILISHA LALAMA Read More »