GAUCHO KUIONGOZA MALINDI UNITED
Mkufunzi wa zamani wa klabu ya Young Bulls Ali Said Gaucho anatarajiwa kuchukua mikoba kama kocha mkuu wa Malindi United kuanzia msimu jana. Gaucho ambaye alijiunga na klabu hiyo msimu jana sasa ana kibarua cha kuirudisha klabu hiyo katika ligi ya daraja la kwanza kitaifa. Kwa sasa anaendelea kunoa vijana wa klabu hiyo inayomilikiwa na […]
GAUCHO KUIONGOZA MALINDI UNITED Read More »



