MAOMBOLEZI YAKATISHA MAANDALIZI YA ‘DERBY’ YA KILIFI
Mkufunzi Collins Omol wa klabu ya Yanga FC amesema maombolezi pamoja na michango ya mazishi ya baadhi ya wachezaji wake waliokufa katika ajali mbaya ya barabarani walipokuwa wanasafiri na basi ya chuo cha pwani ndio chanzo cha kulazimishwa kuairishwa kwa mechi kati yao na Beach Bay kutofanyika siku ya jumapili wikendi ilopita. Mechi hiyo sasa […]
MAOMBOLEZI YAKATISHA MAANDALIZI YA ‘DERBY’ YA KILIFI Read More »



