SADIO MANE APIGWA MARUFUKU NA KLABU YAKE
Klabu ya Bayern Munich imempiga marufuku Sadio Mane ya kutoshiriki mechi ya wikendi ijayo dhidi ya klabu ya Hoffeinhem katika uwanja wao wa nyumbani. Marufuku hiyo inatokana na tukio la wiki hii ambapo Mane alimpiga ngumi mchezaji mwanzake Leroy Sane baada ya kupoteza mechi ya Uefa kwa mabao 3-0 dhidi ya klabu ya Manchester City. […]
SADIO MANE APIGWA MARUFUKU NA KLABU YAKE Read More »



