PALACE YAIBUTUA LEEDS UGENINI, ARSENAL IKIPIGWA BREKI NA LIVERPOOL
Leeds United katika uwanja wao wa nyumbani Ellan Road walitandikwa kichapo cha mabao 5-1 dhidi ya Crystal Palace huku Arsenal ikikabwa koo na kulazimishwa sare ya mabao 2-2 na Liverpool katika uwanja wa Anfield. Kwa matokeo hayo sasa imeshuka hadi nafasi ya nane kwenye ligi huku Arsenal ikiendelea kuselelea kileleni kwa alama 73 alama 6 […]
PALACE YAIBUTUA LEEDS UGENINI, ARSENAL IKIPIGWA BREKI NA LIVERPOOL Read More »



