Paps Mkare

TUTASAJILI WACHEZAJI WENYE TAJRIBA PEKEE – MWABATI

Mkurugenzi mkuu wa klabu ya Young Bulls Johnson Mwabati anasema kwamba amefurahishwa na hatua ambayo klabu yake imepiga msimu huu. Kwa sasa klabu hiyo inaongoza ligi na alama 39 kwenye daraja la kwanza kitaifa na Mwabati anasema kwamba bado vijana wake wana njaa ya kusajili ushindi zaidi. Wikendi ijayo Young Bulls watakuwa wanashuka dimbani dhidi

TUTASAJILI WACHEZAJI WENYE TAJRIBA PEKEE – MWABATI Read More »