Paps Mkare

KAUNTI YA KILIFI KUAJIRI WACHEZAJI WANAOWAKILISHA KAUNTI KWENYE MICHEZO YA KYISA

  Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Maitha Mung’aro ameahidi kuwaangalilia nafasi za ajira baadhi ya vijana wanaoshiriki mashindano ya KYISA kaunti ya Tharaka Nithi endapo wataishindia ubingwa kaunti ya Kilifi kwenye ngarambe hizo. Haya ni kulingana na Waziri wa Michezo kaunti ya KILIFI Daktari Dama Masha,akisema wameweka kigezo hicho ili kuwapa motisha zaidi ya […]

KAUNTI YA KILIFI KUAJIRI WACHEZAJI WANAOWAKILISHA KAUNTI KWENYE MICHEZO YA KYISA Read More »

MASHINDANO YA KYISA MAKALA YA TISA KUFANYIKA KILIFI

Mashindano ya Kenya Youth Inter county Sports makala ya 9 ambayo yatafanyika mwaka ujao sasa yatafanyika katika kaunti ya Kilifi baada ya haya ya mwaka huu yanayoendelea katika kaunti ya Tharaka Nithi. Ni kauli ya wizara ya michezo kupitia waziri Ababu Namwamba ambaye amekuwa akizungumza na vikosi vya kaunti mbalimbali jioni ya leo katika kambi

MASHINDANO YA KYISA MAKALA YA TISA KUFANYIKA KILIFI Read More »