MKOMBOZI FC KUKAMILIKA KARIBUNI HUKO MAGARINI
Mbunge wa eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi Harry Kombe anasema kwamba harakati za kuanza kuifufua mkombozi fc zinaendelea baada ya kusaka talanta za wachezaji mwishoni mwa mwaka jana. Akizungumza na Tama La Spoti , Harry Kome anasema lengo lake ni kuanza kuiweka kambini timu hiyo ambayo inajumuisha wachezaji waliochaguliwa kutoka timu na maeneo […]
MKOMBOZI FC KUKAMILIKA KARIBUNI HUKO MAGARINI Read More »



