MALI TUTASHINDA AFCON – LASSINE SINAYOKO
Baada ya kuchangia pakubwa katika ushindi wa 2-1 wa Mali dhidi ya Burkina Faso katika mchuano wa hatua ya 16 bora, Lassine Sinayoko anasema bado kuna kazi kubwa ya kufanya huku timu yake ikipania kutwaa taji lao la kwanza la bara tangu waanze kushiriki mara ya kwanza mwaka 1972. Licha ya kufika fainali mara tano, […]
MALI TUTASHINDA AFCON – LASSINE SINAYOKO Read More »



