Paps Mkare

WAKUFUNZI WATATU WAKUBWA WATAJWA KUMRITHI XAVI HERNANDEZ BARCA

Mkufunzi wa sasa wa klabu ya Arsenal Mikel Arteta  ni kati ya wakufunzi ambao wanafuatiliwa kurithi mikoba ya Xavi Hernandez wa klabu ya Barcelona ambaye analenga kujiuzulu mwisho wa msimu huu. Arteta sasa anaungana na mkufunzi Jergen Klopp anayeachana na Liverpool mwisho wa msimu pamoja na Julian Nageslman ambao wanawania nafasi hiyo. Hayo yanajiri taarifa

WAKUFUNZI WATATU WAKUBWA WATAJWA KUMRITHI XAVI HERNANDEZ BARCA Read More »