MURANGA SEAL YASISTIZA HUSSEIN AWEPO KWENYE KIKAO CHA FKF
Klabu ya Muranga Seal inayoshiriki ligi kuu ya FKF hapa nchini imeshikilia kwamba Husein Mohamed ataiwakilisha klabu hiyo katika mkutano mkubwa wa mwaka wa FKF jumamosi ijayo. Husein Mohamed ambaye ni mkurugenzi mkuu wa Extreme Sports shirika lilolotangaza kupeana udhamini kwa ligi ya kitaifa ya Super League alikuwa amefungiwa na shirikihso la soka la fkf […]
MURANGA SEAL YASISTIZA HUSSEIN AWEPO KWENYE KIKAO CHA FKF Read More »



