Paps Mkare

SAMBURU LIONS KUFANYA USAJILI MSIMU HUU

Naibu mkufunzi wa klabu ya Samburu Lions Samuel Omondi anasema kuwa analenga kufanya usajili ili kuimarisha kikosi chake ili kumaliza msimu huu katika kiwango bora. Omondi anasema anapolenga sana kufanya usajili ni eneo la mashambulizi huku akisema tayari yuko na baadhi ya wachezaji ambao anajiandaa kuwaweka kwenye orodha ya kikosi chake. Ameeleza matumaini makubwa kuwa

SAMBURU LIONS KUFANYA USAJILI MSIMU HUU Read More »