Paps Mkare

MIRAJJ ABDILLAHI AWAHIMIZA VIONGOZI WA PWANI KUIPA ELIMU KIPAUMBELE

Seneta mteule Miraj Abdillahi ametoa wito kwa viongozi wa kanda ya pwani kuipa elimu kipaumbele. Akizungumza katika kaunti ya Mombasa Miraj amesema ni lazima kuwe na mikakati ambayo itawekwa na viongozi, wadau mbalimbali pamoja na serikali katika kuhakikisha sekta ya elimu inaimarika kanda ya pwani. Miraj amesema ili viwango vya elimu viimarike kanda ya pwani

MIRAJJ ABDILLAHI AWAHIMIZA VIONGOZI WA PWANI KUIPA ELIMU KIPAUMBELE Read More »

VISA VYA UWINDAJI HARAMU VIMEPUNGUA KATIKA KAUNTI YA KWALE

Mkurugenzi wa KWS kaunti ya Kwale Jocob Orale amesema wanaendeleza mikakati ambayo itasaidia kudhibiti visa vya ukataji miti kiholela na uwindaji haramu katika msitu wa Shimba Hills. Orale amesema wameweka uzio upya ambao unazunguka mbuga hiyo ili kudhibiti visa hivyo. Kulingana na Orale visa vya uwindaji haramu vimekuwa vikiathiri sekta ya utalii nchini kwani idadi

VISA VYA UWINDAJI HARAMU VIMEPUNGUA KATIKA KAUNTI YA KWALE Read More »