Janet Mumbi

UONGOZI WA SHULE YA MSINGI YA CENTRAL MJINI MALINDI YALALAMIKIA UHABA WA WALIMU

Mwakilishi wa kamati ya uongozi wa shule ya msingi ya Central mjini Malindi kaunti ya Kilifi, Jokoleah Mugoi Mwamburi amesema shule hiyo ambayo iliafikia vigezo hitajika vya wizara ya elimu nchini kwa ajili ya masomo ya Sekondari Msingi, Junior Secondary inakabiliwa na changamoto za ukosefu wa madarasa, madawati na walimu wa kutosha. Akizungumza na lulu […]

UONGOZI WA SHULE YA MSINGI YA CENTRAL MJINI MALINDI YALALAMIKIA UHABA WA WALIMU Read More »

MIKAKATI YA KUWAKABILI WANAFUNZI WANAOTUMIA DAWA ZA KULEVYA SHULENI INAENDELEZWA MALINDI

Naibu chifu wa wadi ya Shella eneo la Malindi kaunti ya Kilifi, Nichodemus Mwayele Ndundi, amesema wanaendeleza mikakati ya kuwakabili wanafunzi ambao wanatumia dawa za kulevya na pia kudhibiti visa vya mimba za utotoni mjini Malindi. Katika mazungumzo ya kipekee na mwanahabari wetu baada ya kuandaa mkutano ambao uliwahusisha walimu na wazazi katika shule ya

MIKAKATI YA KUWAKABILI WANAFUNZI WANAOTUMIA DAWA ZA KULEVYA SHULENI INAENDELEZWA MALINDI Read More »