Paps Mkare

KLABU YA BARCELONA YAONGEZA PENGO LAO NA REAL MADRID

Katika ligi ya uhispania ni kwamba Barcelona wamerefusha pengo lao na nafasi ya pili Real Madrid hadi alama 8 ikiwaweka wanakatelonya hao katika nafasi nzuri ya kugombania ubingwa msimu huu. Hii ni baada ya jana kuitandika klabu ya Cadiz kichapo cha mabao 2-0 katika mechi ambayo Sergio Roberto aliingia kimyani dakika ya 43 na hatimaye […]

KLABU YA BARCELONA YAONGEZA PENGO LAO NA REAL MADRID Read More »

MALINDI PROGRESIVE YALENGA KUTAFUTA HAKI BAADA YA KUPOKONYWA ALAMA

Klabu ya Malindi Progressive kutoka Malindi, klabu inayocheza ligi ya daraja la kwanza kitaifa yalenga kuanza mchakato wa kutafuta haki baada ya wasimamizi wa mechi yao jana kuisitisha na kupeana alama tatu na mabao mawili kwa wageni Balaji Epz. Kulingana na taarifa zilizofikia Tama La Spoti ni kwamba mechi hiyo ilisimamishwa na wenyeji Progressive kuadhibiwa

MALINDI PROGRESIVE YALENGA KUTAFUTA HAKI BAADA YA KUPOKONYWA ALAMA Read More »