Janet Mumbi

IDADI KUBWA YA WASICHANA WALIOFANYA MTIHANI WA KCPE KATIKA SHULE YA MSINGI YA BOFU WAKOSA KUJIUNGA NA SHULE ZA UPILI

Idadi kubwa ya wasichana waliofanya vyema katika mtihani wa KCPE kwenye shule ya msingi ya Bofu eneo bunge la Kilifi Kaskazini kaunti ya Kilifi, wamekosa kujiunga na shule za upili kutokana na kile ambacho kinadaiwa kuchangiwa na ukosefu wa karo. Haya ni kwa mujibu wa katibu mkuu wa vuguvugu la vijana la KILIFI YOUTH ON […]

IDADI KUBWA YA WASICHANA WALIOFANYA MTIHANI WA KCPE KATIKA SHULE YA MSINGI YA BOFU WAKOSA KUJIUNGA NA SHULE ZA UPILI Read More »

SPIKA WA BUNGE LA KAUNTI YA LAMU APINGA MADAI AMBAYO YAMEKUWA YAKIIBULIWA DHIDI YAKE

Sipika wa bunge la kaunti ya Lamu Azhar Ali Mbarak amepuzilia mbali madai ambayo yamekuwa yakiibuliwa dhidi yake kuwa aliwania wadhifa huo wa Uspika ili kuhujumu harakazi za uongozi wa kaunti hiyo katika kufanikisha maendeleo kwa wenyeji. Akipinga madai hayo amesema lengo lake kuu la kuwania wadhifa huo ni kuhakikisha wenyeji wa kaunti ya Lamu

SPIKA WA BUNGE LA KAUNTI YA LAMU APINGA MADAI AMBAYO YAMEKUWA YAKIIBULIWA DHIDI YAKE Read More »

DINI YA WAUMINI WA KIISLAMU WAHIMIZWA KUWA NA UMOJA

Baraza la dini mbalimbali la Amani na maridhiano kutoka taifa la Tanzania limetoa wito kwa wafuasi wa dini ya Kiislami nchini kusitisha migawanyiko miongoni mwao ili kuwe na umoja. Kulingana na mwenyekiti wa baraza hilo nchini Tanzania Sheikh Alhad Musa Salaam ambaye alikuwa akizungumza kwenye kongamano la viongozi wa dini hilo ambalo limeandaliwa na baraza

DINI YA WAUMINI WA KIISLAMU WAHIMIZWA KUWA NA UMOJA Read More »