MWEKEZAJI ANAYECHIMBA MADINI ENEO LA KISHUSHE AMEAHIDI KULIPA WENYE ARDHI FEDHA ZAO
Waziri wa madini na uchumi wa raslimali za baharini nchini Salim Mvurya amesema mwekezaji ambaye anachimba madini katika eneo la Kishushe, Wundanyi kaunti ya Taita Taveta ameahidi kulipa wenyeji jumla ya shilingi milioni 30 ambazo amekuwa akidaiwa na wenye ardhi kwa zaidi ya miaka 3. Mvurya ameitaja kama hatua ambayo inaridhisha kwani awali juhudi za […]
MWEKEZAJI ANAYECHIMBA MADINI ENEO LA KISHUSHE AMEAHIDI KULIPA WENYE ARDHI FEDHA ZAO Read More »



