FRED MATIANG’I ATARAJIWA KUFIKA KATIKA AFISI ZA DCI
Aliyekuwa waziri wa usalama wa ndani, Dkt. Fred Matiangi sasa anatarajiwa kufika katika ofisi za idara ya DCI, kuandikisha taarifa kuhusiana na yaliyojiri mwezi Februari tarehe 8 ambapo kuibuliwa madai kuwa maafisa wa polisi walivamia nyumbani kwake swala lililopingwa na mkuu wa idara ya upelelezi Mohamed Amin. Hii ni baada ya Matiangi kuwasili nchini baada […]
FRED MATIANG’I ATARAJIWA KUFIKA KATIKA AFISI ZA DCI Read More »



